Sakata za Juma na Bintiheri
$47.18
$92
Kitabu hiki kinalenga kukuza mapenzi kwa wanyama na mazingira kama nyenzo muhimu za kujipatia riziki na wakati huo huo kunoa fikra za kivumbuzi miongoni mwa vijana jinsi ilivyopendekezwa katika silabasi mpya. Kwa hivyo, kitabu hiki kinafaa sana katika ufunzaji na ujifunzaji wa mada kama vile Mapato na Uwekezaji (Kiswahili) na Enterprise Projects (ambayo inashughulikiwa katika masomo yote).
Grade 5